Join us on a literary world trip!
Add this book to bookshelf
Grey
Write a new comment Default profile 50px
Grey
Subscribe to read the full book or read the first pages for free!
All characters reduced
Ninapenda kulala katika kitanda changu mwenyewe - Kiswahili - cover

Ninapenda kulala katika kitanda changu mwenyewe - Kiswahili

Shelley Admont, KidKiddos Books

Publisher: KidKiddos Books

  • 0
  • 0
  • 0

Summary

Jimmy, sungura mdogo, hataki kulala kitandani mwake mwenyewe. Kila usiku ananyemelea chumbani mwa wazazi wake na kulala kitandani mwao. Hadi usiku mmoja kitu kisichotarajiwa kilipotokea.... Hadithi hii inaweza kuwa nzuri kusomwa kwa watoto wako kabla ya kulala na kuifurahisha jamii nzima pia! Inafaa kusomwa kwa sauti kwa watoto wa chekechea au kwa watoto wakubwa kujisomea wenyewe.
Available since: 11/03/2023.
Print length: 34 pages.

Other books that might interest you

  • Magurudumu Mbio za urafiki - cover

    Magurudumu Mbio za urafiki

    Inna Nusinsky, KidKiddos Books

    • 0
    • 0
    • 0
    Urafiki ni nini? Jiunge na marafiki watatu wazuri wanapogundua maana ya urafiki wa kweli. Wanaanza mbio, lakini wanaamua kumaliza pamoja, kusaidia rafiki ambaye alipata shida. Kitabu hiki kitawafundisha watoto ujuzi chanya wa urafiki kama kushirikiana, kuungana mkono na kusaidiana.
    Show book
  • Ndoto nzuri kipenzi changu Sweet Dreams My Love - cover

    Ndoto nzuri kipenzi changu Sweet...

    Shelley Admont, KidKiddos Books

    • 0
    • 0
    • 0
    Ni wakati wa kulala, lakini Alice hataki kwenda kulala bado. Kwa kupitia ratiba yake ya kulala, Mama anamtuliza binti yake kwa kumkumbusha mambo yote mazuri waliyofanya pamoja jioni hiyo. Kitabu hiki kimeandikwa kwa njia nyepesi na yenye kutuliza, kinaonyesha uhusiano mchangamfu na wenye upendo kati ya Alice na mama yake, huku kikiwatayarisha wasomaji wadogo kwa ajili ya kulala vizuri usiku.
    Show book
  • Napenda kusema ukweli I Love to Tell the Truth - cover

    Napenda kusema ukweli I Love to...

    Shelley Admont, KidKiddos Books

    • 0
    • 0
    • 0
    Jimmy sungura mdogo kaingia kwenye matatizo. kwa bahati mbaya, aliharibu maua ya mama anayoyapenda. je itasaidia akidanganya? au ni bora kusema ukweli na kujaribu kutatua tatizo kwa njia tofauti?Wasaidie watoto wako wajifunze kuwa waaminifu zadi na kitabu hiki cha kufurahisha cha watoto
    Show book
  • Ninapenda kula matunda na mboga I Love to Eat Fruits and Vegetables - cover

    Ninapenda kula matunda na mboga...

    Shelley Admont, KidKiddos Books

    • 0
    • 0
    • 0
    Jimmy, sungura mdogo, anapenda kula peremende. Anajipenyeza jikoni kutafuta begi lenye peremende lililokuwa limefichwa ndani ya kabati. Nini kinatokea baada ya Jimmy kupanda juu ili kufikia mfuko wa peremende? Utajua unaposoma kitabu hiki cha watoto lenye michoro. Tangu siku hiyo, anaanza kustawisha mazoea ya kula vizuri na hata anapenda kula matunda na mboga zake
    Show book
  • Ninapenda kulala katika kitanda changu mwenyewe I Love to Sleep in My Own Bed - cover

    Ninapenda kulala katika kitanda...

    Shelley Admont, KidKiddos Books

    • 0
    • 0
    • 0
    Jimmy, sungura mdogo, hataki kulala kitandani mwake mwenyewe. Kila usiku ananyemelea chumbani mwa wazazi wake na kulala kitandani mwao. Hadi usiku mmoja kitu kisichotarajiwa kilipotokea.... Hadithi hii inaweza kuwa nzuri kusomwa kwa watoto wako kabla ya kulala na kuifurahisha jamii nzima pia! Inafaa kusomwa kwa sauti kwa watoto wa chekechea au kwa watoto wakubwa kujisomea wenyewe.
    Show book
  • Mama yangu ni poa - cover

    Mama yangu ni poa

    Shelley Admont, KidKiddos Books

    • 0
    • 0
    • 0
    Katika hadith hii ya kusisimua ya wakati wa kulala, msichana mdogo anamzungumzia mama yake kwa nini ni mzuri.Tunamwona akipitia siku yake akiwa amebeba hisia mwanana kuhusu mama yake.Mama mara zote anajua jinsi anavyohisi na anaweza kumsaidia katika kila tatizo. Mama anaweza kusuka mitindo migumu na anaeleza kuhusu sehemu; Mama anaweza kumsaidia kuamka nasubuhi na kumkumbatia akiwa hana furaha. Kwa mifano vielelezo na ujumbe kwa kila atakayehusianisha ,hiki ni kitabu sahihi kwa watoto na mama zao
    Show book